TANGAZO.
Shule Yetu ya Kanisa la Baptist Murubona iliyopo Mji wa Kasulu mkoani Kigoma inawatangazia Wazazi na Walezi Wote nafasi za masomo kwa muhula mpya wa 2022/2023.
✓Tuna mazingira mazuri ya kufundishia, kujifunzia, na kucheza pia.
✓Walimu wenye Taaluma na ubobezi katika ufundishaji pia Wapo.
✓Tunawafundisha watoto nidhamu ya Hali ya juu bila kuathiri mafundisho ya imani zao.
✓Tuamini ili tumlee mtoto wako kwa kumpatia Elimu iliyo Bora na yenye Viwango vya juu.
Comments
Post a Comment