SOMO LA MSINGI WIKI YA VIJANA.

1 Petro 5:5-11
[5]Vivyo hivyo ninyi vijana, watiini wazee. Naam, ninyi nyote jifungeni unyenyekevu, mpate kuhudumiana; kwa sababu Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.
[6]Basi nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari, ili awakweze kwa wakati wake;
[7]huku mkimtwika yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana kwa mambo yenu.
[8]Mwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka-zunguka, akitafuta mtu ammeze.
[9]Nanyi mpingeni huyo, mkiwa thabiti katika imani, mkijua ya kuwa mateso yale yale yanatimizwa kwa ndugu zenu walioko duniani.
[10]Na Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele katika Kristo, mkiisha kuteswa kwa muda kidogo, yeye mwenyewe atawatengeneza, na kuwathibitisha, na kuwatia nguvu.
[11]Uweza una yeye hata milele na milele. Amina.

TRANSLATION.
  5#Likewise, you who are younger, be subject to the elders. w Clothe yourselves, all of you, with humility toward one another, for x “God opposes the proud but gives grace to the humble.”

6#x Humble yourselves, therefore, under the mighty hand of God so that at the proper time he may exalt you, 7#y casting all your anxieties on him, because z he cares for you. 8#a Be sober-minded; b be watchful. Your c adversary the devil d prowls around e like a roaring lion, seeking someone to devour. 9#f Resist him, g firm in your faith, knowing that h the same kinds of suffering are being experienced by your brotherhood throughout the world. 10#And i after you have suffered a little while,the God of all grace, j who has called you to his k eternal glory in Christ, will himself l restore, m confirm, strengthen, and establish you. 11#n To him be the dominion forever and ever. Amen.


Comments