SOMO LA MSINGI.

Ufunuo wa Yohana 3:14-22
[14]Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; 
Haya ndiyo anenayo yeye aliye Amina, Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa kuumba kwa Mungu.
[15]Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto.
[16]Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.
[17]Kwa kuwa wasema, Mimi ni tajiri, nimejitajirisha, wala sina haja ya kitu; nawe hujui ya kuwa wewe u mnyonge, na mwenye mashaka, na maskini, na kipofu, na uchi.
[18]Nakupa shauri, ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri, na mavazi meupe upate kuvaa, aibu ya uchi wako isionekane, na dawa ya macho ya kujipaka macho yako, upate kuona.
[19]Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.
[20]Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami.
[21]Yeye ashindaye, nitampa kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha enzi.
[22]Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.

TRANSLATION.

14#“And to the angel of the church in Laodicea write: ‘The words of the p Amen, q the faithful and true witness, r the beginning of God's creation.
15#“‘I know your works: you are neither cold nor hot. s Would that you were either cold or hot! 16#So, because you are lukewarm, and neither hot nor cold, I will spit you out of my mouth. 17#t For you say, I am rich, I have prospered, and I need nothing, not realizing that you are wretched, pitiable, poor, u blind, and naked. 18#I counsel you v to buy from me gold refined by fire, so that you may be rich, and w white garments so that you may clothe yourself and x the shame of your nakedness may not be seen, and salve to anoint your eyes, u so that you may see. 19#y Those whom I love, I reprove and discipline, so be zealous and repent. 20#Behold, I stand at the door and z knock. a If anyone hears my voice and opens the door, b I will come in to him and eat with him, and he with me. 21#c The one who conquers, d I will grant him to sit with me on my throne, as e I also conquered and sat down with my Father on his throne. 22#p He who has an ear, let him hear what the Spirit says to the churches.’”


Comments