KUZALIWA KWA YESU.

KUZALIWA KWA YESU.

MHUBIRI: ESTER BONIPHACE.
Mathayo 2:1-12
[1]Yesu alipozaliwa katika Bethlehemu ya Uyahudi zamani za mfalme Herode, tazama, mamajusi wa mashariki walifika Yerusalemu, wakisema, 
Now when Jesus was born in Bethlehem of Judaea in the days of Herod the king, behold, there came wise men from the east to Jerusalem,
[2]Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyota yake mashariki, nasi tumekuja kumsujudia. 
Saying, Where is he that is born King of the Jews? for we have seen his star in the east, and are come to worship him.
[3]Basi mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, na Yerusalemu pia pamoja naye. 
When Herod the king had heard these things, he was troubled, and all Jerusalem with him.
[4]Akakusanya wakuu wa makuhani wote na waandishi wa watu, akatafuta habari kwao, Kristo azaliwa wapi? 
And when he had gathered all the chief priests and scribes of the people together, he demanded of them where Christ should be born.
[5]Nao wakamwambia, Katika Bethlehemu ya Uyahudi; kwa maana ndivyo ilivyoandikwa na nabii, 
And they said unto him, In Bethlehem of Judaea: for thus it is written by the prophet,
[6]Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, 
Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; 
Kwa kuwa kwako atatoka mtawala 
Atakayewachunga watu wangu Israeli. 
And thou Bethlehem, in the land of Juda, art not the least among the princes of Juda: for out of thee shall come a Governor, that shall rule my people Israel.
[7]Kisha Herode akawaita wale mamajusi faraghani, akapata kwao hakika ya muda tangu ilipoonekana ile nyota. 
Then Herod, when he had privily called the wise men, enquired of them diligently what time the star appeared.
[8]Akawapeleka Bethlehemu, akasema, Shikeni njia, mkaulize sana mambo ya mtoto; na mkiisha kumwona, nileteeni habari, ili mimi nami niende nimsujudie. 
And he sent them to Bethlehem, and said, Go and search diligently for the young child; and when ye have found him, bring me word again, that I may come and worship him also.
[9]Nao waliposikia maneno ya mfalme, walishika njia; na tazama, ile nyota waliyoiona mashariki ikawatangulia, hata ikaenda ikasimama juu ya mahali alipokuwapo mtoto. 
When they had heard the king, they departed; and, lo, the star, which they saw in the east, went before them, till it came and stood over where the young child was.
[10]Nao walipoiona ile nyota, walifurahi furaha kubwa mno. 
When they saw the star, they rejoiced with exceeding great joy.
[11]Wakaingia nyumbani, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mamaye, wakaanguka wakamsujudia; nao walipokwisha kufungua hazina zao, wakamtolea tunu; dhahabu na uvumba na manemane. 
And when they were come into the house, they saw the young child with Mary his mother, and fell down, and worshipped him: and when they had opened their treasures, they presented unto him gifts; gold, and frankincense, and myrrh.
[12]Nao wakiisha kuonywa na Mungu katika ndoto wasimrudie Herode, wakaenda zao kwao kwa njia nyingine. 
And being warned of God in a dream that they should not return to Herod, they departed into their own country another way.

Comments