LEO YESU AMEZALIWA.

LEO YESU AMEZALIWA.

MHUBIRI: MCH. JONATHAN BUCHA.
Luka 2:8-20
[8]Na katika nchi ile ile walikuwako wachungaji wakikaa makondeni na kulinda kundi lao kwa zamu usiku. 
And there were in the same country shepherds abiding in the field, keeping watch over their flock by night.
[9]Malaika wa Bwana akawatokea ghafula, utukufu wa Bwana ukawang’aria pande zote, wakaingiwa na hofu kuu. 
And, lo, the angel of the Lord came upon them, and the glory of the Lord shone round about them: and they were sore afraid.
[10]Malaika akawaambia, Msiogope; kwa kuwa mimi ninawaletea habari njema ya furaha kuu itakayokuwa kwa watu wote; 
And the angel said unto them, Fear not: for, behold, I bring you good tidings of great joy, which shall be to all people.
[11]maana leo katika mji wa Daudi amezaliwa, kwa ajili yenu, Mwokozi, ndiye Kristo Bwana. 
For unto you is born this day in the city of David a Saviour, which is Christ the Lord.
[12]Na hii ndiyo ishara kwenu; mtamkuta mtoto mchanga amevikwa nguo za kitoto, amelala katika hori ya kulia ng’ombe. 
And this shall be a sign unto you; Ye shall find the babe wrapped in swaddling clothes, lying in a manger.
[13]Mara walikuwapo pamoja na huyo malaika, wingi wa jeshi la mbinguni, wakimsifu Mungu, na kusema, 
And suddenly there was with the angel a multitude of the heavenly host praising God, and saying,
[14]Atukuzwe Mungu juu mbinguni, 
Na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia. 
Glory to God in the highest, and on earth peace, good will toward men.
[15]Ikawa, malaika hao walipoondoka kwenda zao mbinguni, wale wachungaji waliambiana, Haya, na twendeni mpaka Bethlehemu, tukalione hilo lililofanyika, alilotujulisha Bwana. 
And it came to pass, as the angels were gone away from them into heaven, the shepherds said one to another, Let us now go even unto Bethlehem, and see this thing which is come to pass, which the Lord hath made known unto us.
[16]Wakaenda kwa haraka wakamkuta Mariamu na Yusufu, na yule mtoto mchanga amelala horini. 
And they came with haste, and found Mary, and Joseph, and the babe lying in a manger.
[17]Walipomwona wakatoa habari waliyoambiwa juu ya huyo mtoto. 
And when they had seen it, they made known abroad the saying which was told them concerning this child.
[18]Wote waliosikia wakastaajabu kwa hayo waliyoambiwa na wachungaji. 
And all they that heard it wondered at those things which were told them by the shepherds.
[19]Lakini Mariamu akayaweka maneno hayo yote, akiyafikiri moyoni mwake. 
But Mary kept all these things, and pondered them in her heart.
[20]Wale wachungaji wakarudi, huku wanamtukuza Mungu na kumsifu kwa mambo yote waliyosikia na kuyaona, kama walivyoambiwa. 
And the shepherds returned, glorifying and praising God for all the things that they had heard and seen, as it was told unto them.

Comments