KUMSIKILIZA MUNGU.
KUMSIKILIZA MUNGU.
MCH. JONATHAN BUCHA
Matendo ya Mitume 4:13-21
[13]Basi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na kuwajua ya kuwa ni watu wasio na elimu, wasio na maarifa, wakastaajabu, wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu.
Now when they saw the boldness of Peter and John, and perceived that they were unlearned and ignorant men, they marvelled; and they took knowledge of them, that they had been with Jesus.
[14]Na wakimwona yule aliyeponywa akisimama pamoja nao hawakuwa na neno la kujibu.
And beholding the man which was healed standing with them, they could say nothing against it.
[15]Wakawaamuru kutoka katika baraza, wakafanya shauri wao kwa wao,
But when they had commanded them to go aside out of the council, they conferred among themselves,
[16]wakisema, Tuwafanyie nini watu hawa? Maana ni dhahiri kwa watu wote wakaao Yerusalemu ya kwamba ishara mashuhuri imefanywa nao, wala hatuwezi kuikana.
Saying, What shall we do to these men? for that indeed a notable miracle hath been done by them is manifest to all them that dwell in Jerusalem; and we cannot deny it.
[17]Lakini neno hili lisije likaenea katika watu, na tuwatishe wasiseme tena na mtu awaye yote kwa jina hili.
But that it spread no further among the people, let us straitly threaten them, that they speak henceforth to no man in this name.
[18]Wakawaita, wakawaamuru wasiseme kabisa wala kufundisha kwa jina la Yesu.
And they called them, and commanded them not to speak at all nor teach in the name of Jesus.
[19]Petro na Yohana wakawajibu wakawaambia, Kwamba ni haki mbele za Mungu kuwasikiliza ninyi kuliko Mungu, hukumuni ninyi wenyewe;
But Peter and John answered and said unto them, Whether it be right in the sight of God to hearken unto you more than unto God, judge ye.
[20]maana sisi hatuwezi kuacha kuyanena mambo tuliyoyaona na kuyasikia.
For we cannot but speak the things which we have seen and heard.
[21]Nao walipokwisha kuwatisha tena wakawafungua, wasione njia ya kuwaadhibu, kwa sababu ya watu; kwa kuwa watu wote walikuwa wakimtukuza Mungu kwa hayo yaliyotendeka;
So when they had further threatened them, they let them go, finding nothing how they might punish them, because of the people: for all men glorified God for that which was done.
Comments
Post a Comment