MUNGU AKUFUNGUE MACHO.
MUNGU AKUFUNGUE MACHO.
MHUBIRI. MCH. JONATHAN BUCHA.
Mwanzo 21:1-20
[1]BWANA akamjia Sara kama alivyonena, na BWANA akamfanyia kama alivyosema.
And the LORD visited Sarah as he had said, and the LORD did unto Sarah as he had spoken.
[2]Sara akapata mimba akamzalia Ibrahimu mwana wa kiume katika uzee wake, kwa muhula alioambiwa na Mungu.
For Sarah conceived, and bare Abraham a son in his old age, at the set time of which God had spoken to him.
[3]Ibrahimu akamwita jina lake Isaka, yule mwana aliyezaliwa, ambaye Sara alimzalia.
And Abraham called the name of his son that was born unto him, whom Sarah bare to him, Isaac.
[4]Ibrahimu akamtahiri Isaka mwanawe, alipokuwa mwenye siku nane, kama Mungu alivyomwamuru.
And Abraham circumcised his son Isaac being eight days old, as God had commanded him.
[5]Naye Ibrahimu alikuwa mtu wa miaka mia, alipozaliwa mwana wake Isaka.
And Abraham was an hundred years old, when his son Isaac was born unto him.
[6]Sara akasema, Mungu amenifanyia kicheko; kila asikiaye atacheka pamoja nami.
And Sarah said, God hath made me to laugh, so that all that hear will laugh with me.
[7]Akasema, N’nani angemwambia Ibrahimu, Sara atanyonyesha wana? Maana nimemzalia mwana katika uzee wake.
And she said, Who would have said unto Abraham, that Sarah should have given children suck? for I have born him a son in his old age.
[8]Mtoto akakua, akaachishwa kunyonya; Ibrahimu akafanya karamu kuu siku ile Isaka alipoachishwa kunyonya.
And the child grew, and was weaned: and Abraham made a great feast the same day that Isaac was weaned.
[9]Sara akamwona yule mwana wa Hajiri Mmisri, ambaye alimzalia Ibrahimu, anafanya dhihaka.
And Sarah saw the son of Hagar the Egyptian, which she had born unto Abraham, mocking.
[10]Kwa hiyo akamwambia Ibrahimu, Mfukuze mjakazi huyu na mwanawe, maana mwana wa mjakazi hatarithi pamoja na mwanangu, Isaka.
Wherefore she said unto Abraham, Cast out this bondwoman and her son: for the son of this bondwoman shall not be heir with my son, even with Isaac.
[11]Na neno hilo lilikuwa baya sana machoni pa Ibrahimu, kwa ajili ya mwanawe.
And the thing was very grievous in Abraham's sight because of his son.
[12]Mungu akamwambia Ibrahimu, Neno hili lisiwe baya machoni pako, kwa ajili ya huyo mwana, na huyo mjakazi wako. Kila akuambialo Sara, sikiza sauti yake, kwa maana katika Isaka uzao wako utaitwa.
And God said unto Abraham, Let it not be grievous in thy sight because of the lad, and because of thy bondwoman; in all that Sarah hath said unto thee, hearken unto her voice; for in Isaac shall thy seed be called.
[13]Naye mwana wa mjakazi nitamfanya kuwa taifa, maana huyu naye ni uzao wako.
And also of the son of the bondwoman will I make a nation, because he is thy seed.
[14]Ibrahimu akaamka asubuhi na mapema akatwaa mkate na kiriba cha maji, akampa Hajiri akimtwika begani pake, na kijana, akamruhusu; naye akatoka, akapotea katika jangwa la Beer-sheba.
And Abraham rose up early in the morning, and took bread, and a bottle of water, and gave it unto Hagar, putting it on her shoulder, and the child, and sent her away: and she departed, and wandered in the wilderness of Beersheba.
[15]Yale maji yakaisha katika kiriba, akamlaza kijana chini ya kijiti kimoja.
And the water was spent in the bottle, and she cast the child under one of the shrubs.
[16]Akaenda akakaa akimkabili, mbali naye kadiri ya mtupo wa mshale; maana alisema, Nisimwone kijana akifa; naye akakaa akimkabili, akapaza sauti yake, akalia.
And she went, and sat her down over against him a good way off, as it were a bowshot: for she said, Let me not see the death of the child. And she sat over against him, and lift up her voice, and wept.
[17]Mungu akasikia sauti ya kijana. Malaika wa Mungu akamwita Hajiri kutoka mbinguni, akamwambia, Una nini, Hajiri? Usiogope, maana Mungu amesikia sauti ya kijana huko aliko.
And God heard the voice of the lad; and the angel of God called to Hagar out of heaven, and said unto her, What aileth thee, Hagar? fear not; for God hath heard the voice of the lad where he is.
[18]Ondoka, ukamwinue kijana, ukamshike mkononi mwako, kwa kuwa nitamfanya kuwa taifa kubwa.
Arise, lift up the lad, and hold him in thine hand; for I will make him a great nation.
[19]Mungu akamfumbua macho, naye akaona kisima cha maji; akaenda akakijaza kiriba maji, akamnywesha kijana.
And God opened her eyes, and she saw a well of water; and she went, and filled the bottle with water, and gave the lad drink.
[20]Mungu akawa pamoja na huyo kijana, naye akakua, akakaa katika jangwa, akawa mpiga upinde.
And God was with the lad; and he grew, and dwelt in the wilderness, and became an archer.
Comments
Post a Comment